Nairobi United imerejea kwenye njia ya ushindi baada ya kuilaza Bandari FC mabao 3–1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Kenya (KPL) iliyochezwa Jumanne katika Uwanja...
Mashindano yaliyosubiriwa kwa hamu ya Lagos Incoming Tour yanarejea katika Klabu ya Polo ya Nairobi wikiendi hii, Jumamosi na Jumapili. Mashindano haya ya kimataifa ya siku...
Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, imeeleza kusikitishwa na idadi ndogo ya wananchi wanaojitokeza kujisajili kama wapiga kura tangu kuanza kwa zoezi hilo tarehe 29 Septemba mwaka...
Waziri wa Usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen, ametangaza kubuniwa jopo litakalomteua mwenyekiti na makamishna saba wa tume ya uwiano na utangamano wa kitaifa (NCIC). Kulingana na...
Rais William Ruto amesema serikali yake imepiga hatua kubwa katika kuboresha viwango vya elimu nchini, huku ikijizatiti kuhakikisha kuna walimu wa kutosha katika taasisi zote za...
Viongozi wa chama cha ODM wamekita kambi katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi kwa ajili ya kumpigia debe Harrison Garama Kombe anayewania kiti cha...
Hospitali ya Rufaa ya kaunti ya Kilifi imepata mafanikio ya kihistoria ya kitabibu baada ya kufanikisha uzalishaji watoto mapacha walioshikana kwa mara ya kwanza. Watoto hao...
Mchekeshaji maarufu wa Kenya, Sammy Kioko, ametangaza kuwa ameamua kuuza gari lake ili kukusanya fedha za kugharamia matibabu ya dada yake ambaye anapitia changamoto kubwa kiafya....
Mwenyekiti wa bodi ya barabara nchini Aisha Jumwa amekosoa matamshi ya viongozi wa chama cha ODM ya kujitenga na uhusiano wao na serikali jumuishi katika kampeni...
Wiki ya matibabu ya bila malipo ya mwaka 2025 inakamilika jumapili ya tarehe 2, Novemba 2025, katika chuo kikuu cha Pwani kaunti ya kilifi, huku ikivutia...