Rais William Ruto ametangaza siku 7 za taifa kuomboleza kifo cha Raila Amollo Odinga pamoja na bendera ya taifa kupeperushwa nusu mlingoti katika ofisi zote za...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos amesema ana matumaini kwamba mgomo wa Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma kote nchini utasitishwa hivi karibu. Waziri Migosi alisema...
Zaidi ya wajumbe 50 kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni walikongamana jijini Mombasa kuangazia masuala mbalimbali ikiwemo uchumi samawati, Uvumbuzi na jinsi ya kulinda mazingira ya bahari katika...
Timu ya taifa ya hoki ya wanaume ya Kenya, Chui, ilipata kichapo chake cha pili mfululizo katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (ACN) baada...
Timu ya Bandari Queens imeanza vyema msimu mpya wa Ligi ya NSL ya wanawake 2025–2026, baada ya kuicharaza Mombasa Olympic 4-0, kwenye mechi iliyopigwa katika uwanja...
Wakenya ambao bado hawajachukua Vitambulisho vya kitaifa wamehimizwa kutembelea Ofisi za Msajili wa Vitambulisho na vyeti vya kuzaliwa ili kutuma maombi ya kupata stakabadhi hiyo muhimu...
Mwanariadha Peter Luftensteiner kutoka Austria na Genesis Carolina Ruiz Volcan wa Venezuela walitawala katika makundi ya wachezaji wa Viwango vya juu (elite) wakati Kombe la Afrika...
Mwanariadha nyota wa Kenya katika mchezo wa duathlon, Joseph Okal, alionekana mwenye furaha baada ya kuvuka mstari wa mwisho akiwa wa kwanza katika mbio za wanaume...
Rais William Ruto amevunja kimya chake na kuweka wazi kuhusu mkutano wa faraja uliandaliwa kati yake na Mwenyekiti wa chama cha KANU Gedion Moi katika Ikulu...
Serikali imetangaza kwamba zaidi ya Vitambulisho vya kitaifa elfu 400 kote nchini havijachukuliwa na wenyewe licha ya kutuma maombi ya kutafuta stakabadhi hiyo muhimu ya kitaifa....