Katika kile kinachoonekana kama msukumo mkubwa kwa Ligi Kuu ya Kenya (KPL), Shirikisho la Soka Kenya (FKF) limetangaza ongezeko kubwa la zawadi ya fedha kwa mabingwa...
Bingwa wa Dunia wa mita 1500 mwaka 2019 Timothy Cheruiyot na bingwa wa dunia kwa chipukizi chini ya umri wa miaka 20 Reynold Cheruiyot wamejikatia tiketi...
Bingwa wa dunia kwa chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20 Edmund Serem ameishindia Kenya nishani ya shaba ya mbio za mita 3000 kuruka viunzi na maji...
Vijana humu nchini wamehimizwa kukumbatia ukulima wa bustani ili kujiiinua kiuchumi. Kulingana na Swalehe Joha ambaye anaendeleza kilimo hicho kutumia mitungi, alisema wakulima wanaweza endeleza kilimo bila hata kuwa na...
Upinzani nchini Sudan Kusini ulitoa wito Jumatatu 15, Septemba 2025, wa uhamasishaji wa silaha kufanya “mabadiliko ya serikali” ili kukabiliana na mipango ya kumweka kiongozi wake...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amesisitiza umuhimu wa mbinu ya kuhusisha jamii nzima ili kukabiliana na misimamo mikali ya kidini, akionya kuwa kutegemea polisi...
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC na Mamlaka huru ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi nchini IPOA zimeahidi kushirikiana ili kupambana kikamilifu...
Emillianah, muunda maudhui maarufu Kenya, amekuja hadharani na kuthibitisha kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na mchekeshaji na muunda maudhui, Mulamwah, akimaliza uvumi uliokuwa ukizunguka kuhusu uhusiano...
Serikali imeweka wazi hatua ilizopiga katika kipindi cha miaka mitatu tangu Rais William Ruto achukue hatumu ya uongozi nchini. Katika taarifa iliyotolewa na taifa kupitia vyombo...
Mshambulizi Erling Haaland alifunga mabao mawili huku Manchester City ikiipa pigo jingine Manchester United ya kocha Ruben Amorim kwa ushindi wa 3-0 katika mechi ya Ligi...