Mwakilishi wa wadi ya Junda kaunti ya Mombasa Sylvester Kai amewakosa mawaziri katika serikali ya kaunti hiyo kwa madai ya kuhujumu maendeleo mashinani. Kai alidai kwamba...
Mkufunzi wa zamani wa Manchester United Erik Ten Hag ametimuliwa na klabu ya Bayern Leverkusen baada ya mechi tatu pekee akiinoa klabu hiyo ya taifa la...
Huduma ya kitaifa ya polisi nchini NPS imethibitisha kufariki kwa maafisa mmoja wa polisi anayehudumu katika kitengo cha kudhibiti amani na usalama nchini Haiti MSS. Katika...
Mshambuliaji wa Liverpool, Hugo Ekitike, ameitwa kwa mara ya kwanza katika kikosi cha timu ya taifa ya Ufaransa kuchukua nafasi ya Rayan Cherki aliyejeruhiwa, Shirikisho la...
Mwanatenisi Jannik Sinner raia wa Italia aliweka hai matumaini yake ya kutetea taji la US Open Jumamosi baada ya Iga Swiatek akiponea kufika raundi ya 16,...
Mwendeshaji wa magari dereva Oscar Piastri kutoka Australia alitumia nguvu na ustadi kushinda mbio zenye matukio mengi za Dutch Formula One Grand Prix hapo jana, huku...
Wafugaji wa Nyuki eneo la Mida kaunti ya Kilifi wameitaka serikali kuu na zile za kaunti kukumbatia Kilimo cha Nyuki ili kuendeleza uzalishaji wa Asali na...
Wakulima katika mradi wa unyunyizaji maji mashamba katika mradi wa Hola irrigation Scheme Kaunti ya Tanariver wameeleza matumaini ya kupata mazoa bora kufuatia hatua ya serikali...
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua amekosoa serikali kwa kusalia kimya kuhusiana na madai ya uwepo wa jeshi la Jubaland hapa nchini. Naibu huyo wa...
Goli la mkwaju wa adhabu kutoka kwa kiungo Dominik Szoboszlai ilisaidia Liverpool kupata ushindi wa 1-0 dhidi ya wapinzani wao wa moja kwa moja wa taji,...