Timu ya taifa ya wanawake ya voliboli ya Kenya, Malkia Strikers, imeondolewa kwenye mbio za ubingwa wa dunia wa FIVB baada ya kupoteza kwa ushindani kwa...
Uchaguzi wa viongozi wa mashinani wa Chama cha ODM katika kaunti ya Kilifi ulifanyika Agosti 25, 2025 licha ya awali kuhushudiwa vurugu baada ya kutofautiana kwa...
Serikali imetangaza kwamba Fedha za usimamizi wa shughuli za masomo katika shule za umma kote nchini zitasambazwa kabla ya wiki hii kukamilika ili kuwawezesha wanafunzi kuendelea...
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Mombasa wakiongozwa na mbunge wa Changamwe Omar Mwinyi wamewakosa wananchi pamoja na viongozi dhidi ya kuendeleza siasa za migawanyiko, taifa...
Kilabu ya Arsenal yapata pigo, hii ni baada ya winga Bukayo Saka kutarajiwa kukosa mechi ya Arsenal dhidi ya Liverpool Jumapili pamoja na mechi za kufuzu...
Wafanyabiashara wa madafu katika ufuo wa bahari wa Jumeirah, kaunti ya Mombasa, wameeleza kufurahishwa na kuimarika kwa biashara yao, wakisema kuwa kiwango cha mauzo kimeongezeka kwa...
Mabingwa watetezi mchezo wa Tenesi Jannik Sinner na Aryna Sabalenka wako katika harakati za kutafuta ushindi wa mara ya pili mfululizo kwenye US Open, Grand Slam...
Rais William Ruto ametangaza kwamba Agosti 27, itakuwa siku ya kitaifa ya Katiba Dei ambayo itakuwa ikiadhimishwa kila mwaka. Tangazo hilo ambalo lilichapishwa katika gazeti rasmi...
Kilabu ya Strathmore Leos mchezo wa raga waliwapiga viongozi wa misururu wa raga nchini kilabu ya KCB kwa alama 31-21 katika fainali kali ya Embu 7s...
Kocha wa timu ya taifa ya mpira wa voliboli ya akina dada, Malkia Strikers, Geoffrey Omondi, ana matumaini makubwa kuelekea mechi yao ya pili ya Kundi...