Wakaazi wanaoishi katika vijiji vya Mitsemereni, Goshi na Kavunzoni katika wadi ya Bamba eneo bunge la Ganze kaunti ya Kilifi wanalia ngoa kutokana na changamoto za...
Shirikisho la soka nchini FKF tawi la Mombasa limemsimamisha kwamda kocha wa vijana M’barak Swaleh katika shughuli zote za soka kufuatia madai unajisi yanayomuandama. Swaleh anatuhumiwa...
Shughuli ya kuyafukua makaburi eneo la Kwa Binzaro katika eneo la Chakama kaunti ya Kilifi imeanza rasmi siku ya Alhamisi Agosti 21, 2025. Ufukuzi huo ulicheleweshwa...
Wakaazi wa eneo la Mariani wadi ya Adu eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali ya kaunti ya Kilifi kukamilisha mradi wa maji ulioanzishwa...
Mamlaka ya Afya ya Kijamii (SHA) inasema imetoa shilingi bilioni 3.4 kwa vituo vya afya kote nchini ili kulipa madeni chini ya Hazina ya Bima ya Afya...
Kinara wa Chama cha DCP Rigathi Gachagua amewasili nchini Kenya baada ya ziara yake ndefu nchini Marekani. Vurugu zilishuhudiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa...
Kocha mkuu wa Harambee Stars, Benni McCarthy, ameonyesha imani kubwa huku kikosi chake kikijiandaa kwa pambano la kihistoria la robo fainali dhidi ya Madagascar litakalochezwa katika...
Uhaba wa viwanda kaunti ya kilifi umetajwa kuchangia kudororan kwa uchumi. Kulingana na wafanyibishara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi, eneo hilo halina viwanda vya kutosha jambo...
Mjamaica Oblique Seville alimshinda bingwa wa Olimpiki Noah Lyles katika mbio za mita 100 kwenye mashindano ya Diamond League yaliyofanyika Lausanne jana usiku, ikiwa ni wiki...
Vuguvugu la kupinga mahusiano ya jinsia moja mjini Mombasa limelalamikia bondi wanazopewa washukiwa wa kesi za ulawiti, wakisema pesa hizo huwa ni chache mno hali ambayo...