Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) yaliendelea kwa michezo yenye ushindani mkubwa ambapo Uganda na Afrika Kusini walitoka sare ya...
Mkufunzi wa mchezo wa soka kaunti ya Mombasa Mbarak Swaleh maarufu Coaches amefikishwa katika Mahakamani ya Mombasa akikabiliwa na kosa la ulawiti wa mtoto wa kiume...
Mwanaume mmoja aliyekamatwa kwa tuhuma za kumtolea matusi ya kibaguzi mshambuliaji wa Bournemouth, Antoine Semenyo, wakati wa mechi ya ufunguzi ya Ligi Kuu ya Uingereza kwenye...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu, imezuiwa kurushwa mubashara au kuchapishwa taarifa za ushahidi baada ya Mahakama kutoa...
Bingwa wa Olimpiki wa mbio za mita 800 kutoka Kenya, Emmanuel Wanyonyi, ataongoza kikosi thabiti cha Wakenya katika mashindano ya Athletissima Diamond League yatakayofanyika Lausanne, Uswizi,...
Kilabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani imethibitisha kwamba mshambuliaji wa taifa la Ivory Coast Sebastien Haller amejiunga na klabu ya Uholanzi, Utrecht, kwa mkataba wa kudumu....
Mchezaji Tenesi Nambari moja duniani Jannik Sinner na mpinzani wake mkali Carlos Alcaraz watakutana tena katika fainali kubwa kwa mara ya nne msimu huu baada ya...
Mshambulizi wa Brazil Neymar alia baada ya Santos kuchapwa mabao 6–0 nyumbani na Vasco da Gama. Hasara hiyo ndiyo kubwa zaidi katika maisha ya Neymar ya...
Rais William Samoei Ruto pamoja na Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga wameongoza kikao cha pamoja cha wabunge wa chama ODM na UDA katika eneo...
Kamati ya habari na mawasiliano bungeni ikiongozwa na mwenyekiti Wahome Wamatinga imefanya ziara yake katika uwanja wa maonyesho ya kilimo eneo la Nyali kaunti ya Mombasa....