Kikosi cha voliboli cha wanawake chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20, maarufu kama Junior Strikers, kimetwaa ubingwa wa Mashindano ya Afrika kwa Chipukizi yaliyokamilika jana mjini...
Wavuvi eneo bunge la Likoni, kaunti ya Mombasa, wameitaka halmashauri ya bandari nchini (KPA) kusitisha mara moja shughuli za kumwaga tope maeneo ya bahari wanakofanyia shughuli...
Wajumbe zaidi ya elfu 30 wanahudhuria Kongamano la 9 la Ugatuzi la mwaka wa 2025 katika kaunti ya Homabay linaloanza rasmi Agosti 12, 2025. Akihutubia Wanahabari...
Shirika la wanawake mawakili nchini (FIDA) limekemea vikali ongezeko la visa vya dhulma za wanawake kwenye mitandao ya kijamii. Mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Anne Ireri...
Mamlaka ya bandari ya nchini (KPA) imesema itaendelea kuekeza katika miradi muhimu ya miundombinu ili kukidhi ongezeko la mahitaji ya usafirishaji wa mizigo kupitia reli, baharini...
Mili mingine minne imepatikana ikiwa imeoza kiasi cha kutotambulika katika msitu wa Shakahola karibu na kijiji cha Binzaro eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Mili...
Davido, mmoja wa wanamuziki wakubwa wa Nigeria, ameonesha wazi kwamba furaha na mapenzi kwake hayawekewi kikomo cha fedha. Usiku wa kuamkia leo, msanii huyo alishangaza na kufurahisha...
Rais William Ruto ametangaza kuwa kila mchezaji wa timu ya taifa atapokea shilingi milioni 2.5 kama marupurupu endapo wataibuka na ushindi kwenye mechi ya mwisho dhidi...
Mabondia wawili nchini Japan wamefariki dunia baada ya kupata majeraha makubwa katika mapigano mawili tofauti yaliyofanyika jijini Tokyo wikendi hii. Bondia wa uzani wa Super Featherweight,...
Kilabu ya Crystal Palace ndio mabingwa wa taji la Ngao ya Jamii marufu kama FA Cup Community Shield mechi iliopigwa hapo jana ugani Wembley. Haya yanajiri...