Timu ya taifa ya soka Harambee Stars ipo hatua moja tu kuingia kwenye robo fainali ya michuano ya CHAN inayoendelea nchini Kenya, Uganda na Tanzania. Hii...
Viongozi wa kidini katika ukanda wa Pwani wamejitokeza na kushinikiza kuchukuliwa kwa hatua za haraka kuhusu jinsi ya kukomesha changamoto zinazoathiri maisha ya wananchi mashinani. Mwenyekiti...
Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga ameonekana kuunga mkono ushirikiano kati ya chama cha UDA na ODM, na akawasuta wapinzani dhidi ya kauli yao ya...
Kaimu Spika wa bunge la kaunti ya Taita Taveta Anselm Mwadime ametoa wito kwa viongozi wa kaunti hiyo kuwajibika vilivyo katika kutetea maslahi ya wakaazi wa...
Klabu ya Chelsea imeafikia makubaliano ya maslahi binafsi ya kumsajili winga Alejandro Garnacho kutoka Manchester United huku nyota huyo mwenye umri wa miaka 21 akitamani kujiunga...
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya vilabu bora Afrika kwa viwango vya CAF ambapo Klabu ya Simba Sc ya Tanzania imeendelea kusalia kwenye 10...
Waziri wa afya nchini Aden Duale amethibitisha kusitishwa kwa shughuli za vituo 40 vya afya ambavyo vilibainika kujihusisha na udanganyifu dhidi ya mamlaka ya bima ya...
Mkufunzi wa timu ya soka Harambee Stars ya Benni Mccarthy amesema kwamba mechi ya jana kati ya vijana wake na Angola ulikua ni mechi mgumu zaidi...
Kama njia mojawapo ya kukabiliana na ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana nchini, vijana 1,500 kutoka kaunti ya Kwale wamepokea mafunzo ya miaka miwili ya kilimo...
Idara ya biashara na viwanda kaunti ya kilifi imesema kuwa mpango wa ujenzi wa soko jipya la kisasa mjini Malindi ni hatua itakayopiga jeki sekta ya...