Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC inanuia kuongeza vituo vya kupigia kura hadi 55,393 katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 kutoka vituo 46,229 mwaka...
Mahakama ya Kilifi inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya uharibifi wa msitu wa Arabuko Sokoke inayomkabili mwanaume wa umri wa miaka 53. Katika kesi hiyo, mshukiwa...
Serikali imesema imeanzisha mikakati maalum ya kuwanusuru Wakenya wanaodaiwa kulaghaiwa na mawakala bandia na kujiunga na jeshi la Urusi kupigana vita dhidi ya Ukraine. Katibu wa...
Jaji mkuu mstaafu David Maraga ameishtumu serikali ya kitaifa kwa kuendeleza ufisadi kupitia miradi hewa nchini. Akizungumza wakati wa mikutano yake ya kisiasa katika kaunti ya...
Mahakama Kuu imekataa kutoa amri ya muda yani Conservatory Order ili kuzuia mpango wa ubinafsishaji wa taasisi za umma ikiwemo Shirika la Kenya Pipeline kufuatia ombi...
Kesi ya ulaghai wa shilingi milioni 1.2 inayomkabili mshukiwa Emmanuel Kithi imewasilishwa katika Mahakama ya Kilifi. Mshukiwa Emmanuel Kithi anadaiwa kumlaghai mlalamishi Moses Mwafondo kwa kumuahidi...
Msanii wa Kenya Willy Paul amezua mjadala mpya mitandaoni baada ya kudokeza uwezekano wa kurejea katika muziki wa injili. Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii,...
Kiungo wa Arsenal, Eberechi Eze, aliiumiza tena Tottenham baada ya kufunga mabao mawili yaliyosaidia vinara hao wa Ligi Kuu ya England kuifunga Tottenham mabao 4-1 katika...
Mabingwa watetezi Bandari Youth walithibitisha ubabe wao katika toleo la Pwani la mashindano ya Betika BingwaFest baada ya kuichapa SS Assad mabao 3–0 katika fainali ya...
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC imefanikiwa kurejesha mali ya umma yenye thamani ya shilingi milioni 281 katika kaunti ya Mombasa. Katika taarifa...