Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Tume ya umoja wa Afrika, AUC, kutoka Kenya, Raila Odinga, amevunja kimya chake na kuzungumzia uchanguzi wa nafasi hiyo...
Baraza la vyombo vya habari nchini MCK limewataka Wanahabari kuzingatia maadili ya taaluma yao wakati wa kuripoti taarifa mbalimbali nchini ikiwemo maswala la uchumi wa bahari....
Viongozi mbalimbali nchini watuma rasila zao za rambirambi kwa familia ya mwendazake Seneta wa Baringo William Cheptumo, aliyeaga dunia baada ya kuugua kwa mda mfupi katika...
Seneta wa kaunti ya Kilifi Stewart Madzayo analenga kuwasilisha mswada bungeni kuhusu utata wa ardhi unaendelea kuzingira wakaazi wa eneo bunge la Kilifi Kusini. Madzayo amesema...
Ili kuhakikisha wakaazi wa kaunti za Pwani wanafahamu kinachojadiliwa na kupitishwa katika mabunge ya kaunti ni vyema iwapo mabunge hayo yatawekeza mbinu za kisasa za kiteknolojia...