Kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge, useneta na uwakilishi wadi katika maeneo mbalimbali, zinatarajiwa kutamatika rasmi siku ya Jumatatu Novemba 24 mwaka huu wa 2025, saa...
Mwenyekiti wa baraza la magavana nchini Ahmed Abdillahi ameishtumu Wizara ya afya nchini kwa kutoshirikiana na serikali za kaunti katika utekelezaji wa bima ya afya ya...
Muungano wa mawakala wa usafiri wa baharini nchini (KSAA), umeibua wasiwasi kuhusu ongezeko la gharama za uendeshaji wa shughuli za usafiri wa baharini katika bandari ya...
Wakfu wa George Kithi kwa mara nyengine umepata Tuzo za Africa Champions Awards kwa kutambulika kama Shirika linalotegemewa na wengi katika jamii. Tuzo hizo za Africa...
Kaimu Spika wa bunge la kaunti ya Taita taveta Anselm Mwadime pamoja na wajumbe wengine wa bunge la kaunti hiyo wamewasilisha hoja yao mbele ya bunge...
Katibu katika Idara ya huduma za magereza nchini Dkt. Salome Beacco amesema serikali itahakikisha wafungwa wanapata mazingira bora ya afya, elimu na jamii ili kuwawezesha kurejea...
Katibu katika Wizara ya Elimu nchini Julius Bitok, amesisitiza kwamba elimu ya shule za msingi na zile za upili nchini ingali bila malipo na kwamba mpango...
Kaunti ya Kilifi ni moja wapo ya kaunti 47 zinazokabiliwa na changamoto za dhulma za kijinsia, mimba za utotoni, umaskini, mila na tamaduni potovu na mifumo...
Baraza la mawaziri nchini limeidhinisha kuanzishwa kwa ubalozi wa Kenya katika jiji la Vatican hatua inayolenga kuboresha ushirikiano wa kidiplomasia na Vatican. Taarifa ya baraza hilo...
Kamati ya kitaifa kuhusu tuzo za Jamhuri imempongeza Wakili George Kithi kwa kutambuliwa kama shujaa wa afya, haki na masuala yanayoathiri jamii kwenye tuzo za kitaifa...