Mahakama mjini Malindi kaunti ya Kilifi iliwaamuru washukiwa 11 waliokamatwa katika kijiji cha Kwa Binzaro kilomita sita kutoka eneo la Shakahola kuzuiliwa rumande kwa mda wa...
Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Kaloleni kaunti ya Kilifi, Kyalo Kaloki amewapongeza wenyeji kwa juhudi ambazo wamekuwa wakiweka kudhibiti mauaji ya wazee kwa tuhuma za uchawi. Kaloki...
Mbunge wa Kaloleni kaunti ya Kilifi Paul Katana ametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kujiepusha na siasa ambazo huenda zikasababisha chuki miongoni mwa wenyeji. Akizungumza katika...
Catherine Kenga amechaguliwa kuwa spika wa bunge la kaunti ya Kilifi katika kikao maalum ambacho kiliandaliwa katika bunge hilo Jumatu Julai 21 2025. Katika kikao hicho...
Mwakilishi wadi wa Sokoke kaunti ya Kilifi Thaura Mweni ametaja zoezi la kumchagua spika mpya wa bunge la kaunti ya Kilifi linalofanyika hii leo kama litakaloendeshwa...
Bunge la kaunti ya Kilifi linatarajiwa kumchagua spika mpya Julai 21,2025. Hii ni baada ya Teddy Mwambire kubanduliwa uongozi na wawakilishi wadi Juni 30 2025 kupitia...
Mwanaharakati Boniface Mwangi anatarajiwa kufikishwa mahakamani Jumatatu 21 Julai, 2025 kujibu mashtaka ya kufanikisha ugaidi. Maafisa wa upelelezi wa jinai walisema kuwa Mwangi alipatikana na risasi...
Rais William Ruto amewashauri wazazi kote nchini kuhakikisha wanawalekuza vijana wao katika mazingira ya maadili na uwajibikaji na wala sio kuwasukuma katika maisha ya kuhangaika. Rais...
Maafisa wa polisi kaunti ya Kilifi wamewaokoa watu wanne katika kijiji cha kwa Binzaro kilomita 6 kutoka Shakahola. Kamishna wa kaunti ya Kilifi Josephat Biwot alisema...
Mwanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu nchini Boniface Mwangi amekamatwa na maafisa wa idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI. Kulingana na Mkewe Boniface, Hellen Njeri...