Wakenya wa tabaka mbalimbali wamejitokeza katikati mwa miji mkuu nchini Kenya ikiwemo Nairobi, Mombasa, Nakuru, miongoni mwa miji mingine kuadhimisha makumbusho ya Juni 25. Maandamano hayo...
Wadau wa kupambana na dhulma za kijinsia mjini Malindi kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kitaifa kuifanyia marekebisho sheria ya adhabu na dhamana inayopewa washukiwa wa...
Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Iran yameanza kutekelezwa huku nchi hizo mbili zikithibitisha tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu hatua hiyo....
Mama wa Taifa Rachel Ruto amesema serikali kuu inaendeleza mikakati thabiti kuhakikisha kila mmoja hapa nchini anawezeshwa vilivyo wakiwemo wajane ili waweze kujiendeleza kimaisha. Mama wa...
Rais William Ruto ameahidi kuwaunga mkono maafisa wa polisi katika kutekeleza majukumu yao ya kulinda haki za kila mwananchi. Rais Ruto alisisitiza haja ya kulinda pia...
Kaunti ya Kilifi imetajwa kuripoti visa vingi vya wasichana na wanawake kudhulumiwa kingono. Haya ni kwa mujibu wa shirika la utetezi wa haki za kibinadamu la...
Wajane katika kaunti ya Kilifi wamehimiza kuangaziwa kwa madhila wanayopitia katika jamii ili kuwawezesha kukidhi mahitaji yao kikamilifu. Wajane hao walitoa wito kwa serikali kuwatambua badala...
Katika juhudi za kulipiza Mashambulio ya jeshi la Marekani dhidi ya vituo vya Nyuklia, Iran siku ya Jumatatu Juni 23, imevurumisha makombora na kushambulia kambi ya...
Serikali ya kitaifa kwa ushirikiano na mashirika ya kimazingira kaunti ya Kilifi inaendeleza mpango wa upanzi wa miti ili kuboresha mazingira. Kulingana na Katibu wa masuala...
Naibu wa rais Prof. Kithure Kindiki ametaka makubaliano yote kati ya serikali za kaunti na ile ya kitaifa kutekelezwa kabla ya mwezi Disemba mwaka huu wa...