Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro ametoa hutuba kuhusu mustakabili wa kaunti akiangazia masuala mbalimbali, huku suala la afya likipewa kipau mbele. Hutuba hiyo iliyodumu...
Maafisa wa upelelezi wa makosa ya jinai DCI eneo la Nyali kaunti ya Mombasa wamemkamata mshukiwa wa utapeli anayedaiwa kuwalaghai wageni wanaotafta nyumba za kukodisha kupitia...
Wamiliki hoteli zilizofungwa kaunti ya Kilifi wameshinikizwa kuhakikisha wanaziuza kwa wawekezaji wengine iwapo wameshindwa kurejesha huduma katika hoteli hizo. Akizungumza na vyombo vya habari gavana wa kaunti...
Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibindamu nchini KNCHR imesema zaidi ya watu 57 walipitia mateso na hata maafa katika hali tatanishi, mwaka huu wa...
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu nchini Kenya yameitaka Serikali ya Tanzania kusikiliza matakwa ya wananchi wake badala ya kuwatishia kukabiliana nao kikamilifu wakati wakipanga kufanya...
Chama cha UDA kimetangaza kumuunga mkono aliyekuwa Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Jimmy Kahindi, kugombea wadhfa wa ugavana wa kaunti ya Kilifi katika uchaguzi...
Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha miaka 7 gerezani mwanaume mmoja aliyepatikana na hatia kwa kesi ya biashara ya meno za ndovu baada ya uchunguzi na...
Viongozi wa Chama cha ODM wametaka ajenda 10 zilizotiwa saini kati ya Rais William Ruto na Hayati Raila Odinga kutekelezwa kikamilifu kabla ya uchaguzi mkuu wa...
Rais William Ruto amevunja kimya chake kuhusu hatamu ya uongozi na kuwakosoa wale wanaoshinikiza kuendelea kusalia madarakani kwa miaka 20 licha ya Katiba ya Kenya kuweka...
Mahakama ya Kilifi imetoa kibali cha kukamatwa kwa washukiwa wawili ya kati ya watatu ambao ni raia wa Italia wanaokabiliwa na mashtaka ya unyakuzi wa ardhi...