Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna ametimuliwa kutoka wadhifa wake kama Katibu mkuu wa Chama cha ODM na nafasi yake kuchukuliwa na Catherine Omanyo. Uamuzi huu umeafikiwa...
Klabu ya Tottenham Hotspur imemfuta kazi kocha Thomas Frank miezi nane tu baada ya kumteua kuwa kocha mkuu. Kwenye taarifa iliyotolewa leo Jumatano Feb 11 ilieleza...
Mchezaji kikosi cha Morans David Nyangige ni miongoni mwa wachezaji walioshtua wengi baada ya kujumuishwa katika kikosi cha Shujaa kilichotangazwa Jumatatu na kocha Kevin ‘Bling’ Wambua,...
Baraza la Magavana nchini limetishia kususia vikao vya kamati ya bunge la Seneti kuhusu hesabu za umma, likidai kwamba kumekuwa na vitendo vya uladhalilishaji, ulaghai wa...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kuzuiliwa rumande mshukiwa wa mauaji ya Ruth Ochieng’ mwenye umri wa miaka 60 kutoka kaunti ya Kisumu baada ya mshukiwa Evans Otieno...
Waziri wa Fedha nchini John Mbadi amesema serikali inalenga kuwaondolea ushuru wa PAYE wakenya wanaopata mshahara wa chini ya shilingi elfu 30 kwa mwezi huku wale...
Idara ya usalama katika eneo la Magarini kaunti ya Kilifi imeanzisha uchunguzi kuhusu baadhi ya nyumba za ibada zinazohushwa na mafunzo ya Imani potovu katika eneo...
Viongozi wa kidini katika eneo bunge la Kinango wamejitokeza na kuishinkiza serikali ya kaunti ya Kwale kuweka mikakati bora ya kukabiliana na kiangazi kikali katika eneo...
Rais William Ruto amewaagiza maafisa wa usalama kuhakikisha maeneo ya makanisa na sehemu zengine ya kuabudu zinapewa ulinzi wa hali juu ili kuhakikisha waumini wanashiriki ibada...
Baraza la magavana, bodi ya huduma za umma kaunti ya Mombasa pamoja na Muungano wa maafisa wa Kliniki nchini (KUCO), wametia saini mkataba wa makubaliano ya...