Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, imefichua kwamba inakabiliwa na upungufu wa fedha wa takriban shilingi bilioni 22. Mwenyekiti wa IEBC, Erastus Ethekon, alisema...
Rais William Ruto amewateua watu 15 kuwa Majaji wa Mahakama ya rufaa baada ya kuhojiwa na kupigwa msasa na Makamishna wa Tume ya huduma ya Mahakama...
Idara ya usalama nchini imesema imeimarisha doria na operesheni za kiusalama zinaendelea katika kaunti ya Garissa kufuatia shambulio la kigaidi lilitekelezwa katika eneo la Hulugho na...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos Ogamba amewaonya Walimu wakuu dhidi ya kuwarudisha nyumbani wanafunzi ambao hawana karo ama sare za shule, akisema watakaopatikana watachukuliwa hatua...
Kinara wa Chama cha DCP Rigathi Gachagua amejitokeza na kudai kwamba serikali iko na njama ya kumuangamiza licha ya Rais William Ruto pamoja na wabunge kufualu...
Waziri wa Usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amelaani vikali tukio la kuvurugwa kwa ibada ya Jumapili katika Kanisa la ACK, Witima eneo la Othaya, kaunti ya...
Rais William Ruto amemteua mke wa Hayati Raila Odinga, Mama Ida Odinga kuwa Balozi na Mwakilishi wa kudumu wa Kenya katika Shirika la Mazingira la Umoja...
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amesisitiza umuhimu wa serikali kuweka mikakati thabiti itakayohakikisha elimu katika shule za upili za kutwa inatolewa bila malipo. Akizungumza jijini Mombasa,...
Wanafunzi wa gredi ya kumi wanatarajiwa kuanza rasmi masomo yao wiki ijayo kufuatia kusambazwa kwa vitabu kwa shule za sekondari ya juu kote nchini. Taasisi ya...
Familia za wakenya waliokwama nchini Urusi zinaendelea kulilia serikali kuingilia kati kuwarejeshwa jamaa zao nyumbani. Baadhi ya wakenya hao wanaripotiwa kuzuiliwa kama wafungwa wa vita na...