Mkurugenzi mkuu wa halmashauri ya bandari nchini, nahodha William Ruto, ameibua matumaini mapya kuhusu uboreshaji wa Bandari ya Mombasa baada ya kutangaza hatua mbalimbali za kisasa...
Mashirika ya kijamii eneo la Pwani yameingia katika mkataba wa makubaliano wa miaka 3 na kamati ya uwajibikaji Mombasa (MAC) unaolenga kuimarisha uwajibikaji, uwazi, na utetezi...
Serikali ya Marekani imetoa orodha ya wakenya 15 ambao watafurushwa nchini humo. Wakenya hawa ni wale waliokabiliwa na kesi mbalimbali ikiwemo wizi wa mabavu, ulanguzi wa...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro ametoa hutuba kuhusu mustakabili wa kaunti akiangazia masuala mbalimbali, huku suala la afya likipewa kipau mbele. Hutuba hiyo iliyodumu...
Maafisa wa upelelezi wa makosa ya jinai DCI eneo la Nyali kaunti ya Mombasa wamemkamata mshukiwa wa utapeli anayedaiwa kuwalaghai wageni wanaotafta nyumba za kukodisha kupitia...
Wamiliki hoteli zilizofungwa kaunti ya Kilifi wameshinikizwa kuhakikisha wanaziuza kwa wawekezaji wengine iwapo wameshindwa kurejesha huduma katika hoteli hizo. Akizungumza na vyombo vya habari gavana wa kaunti...
Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibindamu nchini KNCHR imesema zaidi ya watu 57 walipitia mateso na hata maafa katika hali tatanishi, mwaka huu wa...
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu nchini Kenya yameitaka Serikali ya Tanzania kusikiliza matakwa ya wananchi wake badala ya kuwatishia kukabiliana nao kikamilifu wakati wakipanga kufanya...
Chama cha UDA kimetangaza kumuunga mkono aliyekuwa Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Jimmy Kahindi, kugombea wadhfa wa ugavana wa kaunti ya Kilifi katika uchaguzi...
Rais wa chama cha Karate nchini JKA wakili George ameweza kutambua ubora ulioonyeshwa na timu kutoka Kilifi zinazoshiriki kwenye Toleo la Pili la Mashindano ya Afrika...