Rais Donald Trump bado anaonekana kutokuwa na uhakika kwamba aite mchezo huo soccer au football. Lakini lengo lake huwa sahihi zaidi anapotumia mchezo unaopendwa zaidi duniani...
Kocha wa Harambee Stars, Twalir Muhiddin, ametabiri pambano kali kati ya mahasimu wakubwa, Gor Mahia na AFC Leopards, watakaovaana katika dimba la Nyayo Stadium Jumapili hii....
Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha miaka 7 gerezani mwanaume mmoja aliyepatikana na hatia kwa kesi ya biashara ya meno za ndovu baada ya uchunguzi na...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amependekeza kupunguzwa kwa bajeti ya umoja huo ya mwaka ujao kwa dola milioni 577, hatua ambayo itapunguza asilimia...
Viongozi wa Chama cha ODM wametaka ajenda 10 zilizotiwa saini kati ya Rais William Ruto na Hayati Raila Odinga kutekelezwa kikamilifu kabla ya uchaguzi mkuu wa...
Rais William Ruto amevunja kimya chake kuhusu hatamu ya uongozi na kuwakosoa wale wanaoshinikiza kuendelea kusalia madarakani kwa miaka 20 licha ya Katiba ya Kenya kuweka...
Binti wa aliyekuwa gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko, Saumu Mbuvi, ameeleza wazi kuwa ndoa si kipaumbele tena maishani mwake, hasa baada ya sakata la...
Ikiwa imeungwa mkono na umati mkubwa wa mashabiki waliofurika Kasarani Indoor Arena, Nairobi City Thunder iliibwaga Johannesburg Giants ya Afrika Kusini kwa ushindi wa 94–84, na...
Timu ya Kenya imemaliza kampeni yake kwenye Mashindano ya Deaflympics ya Majira ya Kiangazi ya Tokyo 2025 kwa fahari kubwa, baada ya kurejea nyumbani na jumla...
Mahakama ya Kilifi imetoa kibali cha kukamatwa kwa washukiwa wawili ya kati ya watatu ambao ni raia wa Italia wanaokabiliwa na mashtaka ya unyakuzi wa ardhi...