Watu 6 zaidi wamekamatwa na maafisa wa idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI Kwa kuhusika na wizi wa mitihani ya kitaifa ya KCSE katika maeneo...
Serikali imesema imeweka mipango ya kuimarisha ufugaji mashiani kupitia teknolojia ili kupiga jeki uchumi wa taifa. Akizungumza nchini Qatar rais Wiliam Ruto alisema kuwa ufugaji ni...
Timu ya mpira wa kikapu ya wanawake ya Kenya Ports Authority (KPA) imeimarisha kikosi chake kuelekea mashindano ya kufuzu kwa Ligi ya Wanawake ya Mpira wa...
Ripoti ya waangalizi wa Umoja wa Afrika imesema uchaguzi wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, haukuzingatia viwango vya demokrasia na kanuni za kimataifa. Ujumbe huo ulieleza kwamba...
Shirikisho la Soka la Senegal (Senegal Football Federation) limethibitisha kwamba Simba wa Teranga watakabiliana na Harambee Stars katika mechi ya kirafiki ya kimataifa tarehe 18 Novemba...
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini, KUPPET, kimeitaka Tume ya huduma ya walimu nchini (TSC) kuwaajiri walimu wanagenzi hasa wale...
Wadau katika sekta ya utalii eneo la Watamu kaunti ya Kilifi wanasema uhaba wa maji ambao unashuhudiwa kwa mda mrefu unaathiri biashara zao. Kulingana na wadau...
Viongozi wa Muungano wa Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini UASU na wale wa Wafanyikazi wa vyuo vikuu KUSU wamekubaliana kusitisha mgomo wao uliyodumu kwa takriban siku...
Mwanamuziki wa muziki wa kufoka (hip-hop) Kaa la Moto ameendelea kuthibitisha kuwa bado ni nguzo muhimu katika harakati za muziki wa Pwani, baada ya kuachia wimbo...
Nahodha wa Liverpool Virgil van Dijk amesema mabingwa hao wa Uingereza lazima wajenge mafanikio yao kutoka safu ya ulinzi baada ya kutoa mchezo wao bora zaidi...