Idara ya usalama mjini Malindi katika kaunti ya Kilifi imesema itaendelea kutekeleza oparesheni ya kuwasaka wahalifu wanaoendelea kuhangaisha wakaazi. Mafisa waa usalama walisema kufikia sasa takriban...
Rais William Ruto ameondoka nchini Jumamosi 20, Septemba 2025, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa 80 wa Umoja wa Mataifa mjini New York, nchini Marekani. Katika taarifa yake...
Mkurugenzi mkuu wa shirika la World Vision Kenya Geophrey Kativa ameitaka serikali ya kaunti ya Kilifi kusimamia vyema miradi mbali mbali iliyotekelezwa katika eneo la Magarini...
Itikadi za kidini na mafunzo ya kupotisha, sasa zimeanza kupenya katika mazingira ya shule licha ya uovu huo kuonekana katika maeneo ya nyumba za ibada na...
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) imehitimisha rasmi kesi yake dhidi ya mauaji ya Shakahola, ambapo Mhubiri tata Paul Mackenzie na wenzake 35 wanakabiliwa...
Malkia wa Bongo Flava, Zuchu, ametuhumu hadharani Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kwa kushindwa kumlipa baada ya kutumbuiza katika fainali za Mashindano ya Mataifa ya...
Familia ya riadha nchini Kenya inaomboleza kifo cha mshindi wa nishani ya fedha kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola ya mwaka 2014, Jairus Kipchoge Birech, mmoja...
Rais William Samoei Ruto amezindua malipo ya shilingi bilioni 4.4 kwa ajili ya gharama ya matibabu ya wakenya milioni 2.2 wasiojiweza chini ya mpango wa bima...
Mshambulizi wa Uingereza Marcus Rashford alifunga mara mbili huku Barcelona ikianza vema kampeni yake ya Ligi ya Mabingwa kwa ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Newcastle...
Tume ya kitaifa ya huduma ya polisi (NPSC) hatimaye imetangaza usajili wa maafisa 10,000 wa polisi, na kumaliza mzozo wa muda mrefu kati yake na huduma...