Mshambulizi Harry Kane alifunga mabao mawili na kuisaidia Bayern Munich kushinda Chelsea 3-1 nyumbani katika mechi yao ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa siku ya Jumatano....
Mkufunzi mreno Jose Mourinho ameripotiwa kukubali kandarasi ya miaka miwili kuwa kocha mkuu wa Benfica, miaka 25 tangu alipohudumu kwa mara ya kwanza katika klabu hiyo....
Mabingwa wa Dunia katika mbio za mita 10,000 Beatrice Chebet na Faith Kipyegon wa mita 1,500, watakutana leo kwenye nusu fainali ya mita 5,000, huku mashindano...
Benki ya KCB kwa ushirikiano na bebki ya Afrexim zimeingia kwenye mkataba wa maelewano unaolenga kutoa usaidizi wa kuwezesha kifedha na kibiashara kwa wawekezaji wanaoendesha shughuli...
Muungano wa Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini (UASU) wameanza mgomo wao licha ya Hazina ya kiaifa kutoa shilongi bilioni 2.5 kwa ajili ya kutekeleza awamu ya...
Idara ya Mahakama nchini pamoja na Wanasheria wanaomboleza kifo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa Fredrick Ochieng’ Andago aliyefariki dunia siku ya Jumatano, Septemba 17, 2025 ...
Faith Cherotich wa Kenya ameshinda dhahabu ya mbio za kuruka viunzi na maji za mita 3,000 kwenye Mashindano ya Dunia ya Riadha mjini Tokyo siku ya...
Mahakama ya Kilifi imeagiza mshtakiwa wa kesi ya usafirishaji wa Mihadarati aina ya bangi kuendelea kuzuiliwa rumande wakati kesi hiyo ikiendelea. Akitoa agizo hilo Hakimu wa...
Rais William Ruto amefungua rasmi kituo kipya cha reli cha Miritini kisiwani Mombasa. Katika taarifa yake wakati wa uzinduzi huo Rais Ruto alisema abiria watakuwa wakilipa...
Serikali imetangaza mpango wa kuongeza mgao wa mafuta ya Petroli na diseli ya kila mwezi kwa magari ya polisi kutoka lita 450 za sasa hadi lita...