Haya Ni kama marudio ya fainali ya mwaka 2012 uwanjani Allianz Arena, ambapo Chelsea walishinda kwa mikwaju ya penalti. Bayern haina muda wa kutulia baada ya...
Shirika la kutathmini ubora wa mbegu na ustawishaji wa mimea nchini (KEPHIS), limepinga vikali mswada wa marekebisho ya mbegu na aina za mimea wa mwaka 2025,...
Wanariadha wa humu nchini watalenga kujiongezea nishani zaidi katika siku ya tano ya mashindano ya Riadha Duniani mjini Tokyo Japan leo jioni. Mshindi wa nishani ya...
Mbunge wa Ganze katika kaunti ya Kilifi Kenneth Kazungu Tungule amesema baadhi ya wawekezaji katika eneo la Jaribuni kaunti ya Kilifi wanaendelea kufungiwa timbo zahadi watakapokamilisha...
Kilabu ya Arsenal ambao walifika hatua ya nusu fainali msimu uliopita walianza kwa ushindi nchini Basque baada ya kutamba katika mchezo wa ushindani uliofanyika kwenye uwanja...
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu sasa wanataka kukamatwa kwa waziri wa vyama vya ushirika Wycliffe Oparanya kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kuwa mkurugenzi mkuu wa...
Ushahidi wa kutisha umeendelea kufichuliwa katika kesi ya mauaji ya Shakahola, ambapo Mhubiri tata Paul Mackenzie na washukiwa wenzake 35 wanakabiliwa na mashtaka mazito ikiwemo ukatili wa...
Bingwa wa Olimpiki Faith Kipyegon amenyakua nishani ya nne ya dhahabu ya dunia katika mbio za mita 1500 na ya tatu mtawalia leo jioni mjini Tokyo,...
Naibu Chifu wa Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi Nicodemus Mwayele ametoa wito kwa wenyeji kushirikiana na asasi za usalama ili kuyakabili magenge ya kihalifu ambayo...
Chama cha Chadema nchini Tanzania kimedinda kuendelea na kesi ya uhainini inayomkabili mwenyekiti wake Tundu Lissu hadi pale wanachama na wafuasi wake watakapokuwa wanaruhusiwa kuingia mahakamani....