Kilabu ya Manchester United bado hawajapata ushindi wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Fulham Jumapili, huku kilabu ya Everton ikiongozwa...
Viongozi wa makanisa wanamtaka rais William Ruto kutimiza vitisho vyake na kuwachukulia hatua wabunge anaodai wanahusika na visa vya ufisadi nchini. Baraza la makanisa nchini NCCK...
Maafisa wa upelelezi wa makosa ya jinai DCI, katika eneo bunge la Kisauni kaunti ya Mombasa wanasema wamewatia mbaroni washukiwa wawili wa uhalifu wa wizi wa...
Watu wawili wanahofiwa kufariki baada ya boti walimokuwa wakisafiria kuelekea eneo la Shanga Kisiwani Patekaunti ya Lamu kuzama bahari hindi kwa siku ya tatu leo. Ibrahim...
Kwa zaidi ya miaka 45, Gould David alikuwa uso wa imani ya Kikristo nchini Australia. Akiwa padri wa Kanisa, alihubiri, aliongoza ibada, na akahudumia maelfu ya...
Mahakama ya Kilifi imetoa agizo la kukamatwa kwa Wanaume wawili walioshtakiwa kwa kosa la unajisi wa mtoto wa umri wa miaka 14. Akitoa agizo hilo, Hakimu...
Mchekeshaji aliyegeuka kuwa mwanaharakati, Eric Omondi, amefichua njama ya mwanamke aliyedai kutimuliwa na mumewe ili kuomba msaada wa kifedha kutoka kwa wahisani. Mapema wiki hii, video...
Kenya inalenga kubadilisha uhusiano wake wa kiuchumi na Japan kutoka utegemezi wa misaada katika usawa wa kibiashara, mtaji na ubinafsi pamoja na ubunifu. Rais William Ruto...
Senata wa kaunti ya Mombasa Mohammed Faki ameitaka idara ya mahakama kuanzisha rasmi huduma za mahakama ya kadhi katika mahakama ya Shanzu kama njia moja ya...
Maiti tano zimefukuliwa kutoka eneo la kwa Binzaro kaunti ya Kilifi, siku ya kwanza ya zoezi la kufukua maiti eneo hilo. Maafisa wa upelelezi wanaohusika na...