Mshikilizi wa rekodi kuruka juu (pole vault) kutumia kijiti Armand ‘Mondo’ Duplantis ametabiri mashindano ya dunia “yatakuwa ya kipekee mno” jijini Tokyo, ambako alinyakua medali yake...
Mamia ya wauguzi kaunti ya Kilifi wamegoma na kufanya maandamano katikati mwa mji wa Kilifi. Wauguzi hao wanalilia haki yao ikiwemo mishahara pamoja na kurejeshwa kazini...
Bandari ya Lamu inazidi kujipatia umaarufu kama kitega uchumi kipya kwenye uchumi wa baharini kaunti ya Lamu lakini pia katika ukanda wa Afrika mashariki. Meneja mkuu...
Timu ya taifa soka Harambee stars wametinga kwenye hatua ya robo fainali taji la CHAN baada ya matokeo ya jana. Timu ya Taifa ya Angola Palancas...
Sekta ya biashara katika kaunti ya Homabay ambako kongamano na ugatuzi linaendelea, imeimarika hata zaidi. Kulingana na wamiliki wa mikahawa na baa eneo hilo walisema kuwa...
Serikali ya kaunti ya Mombasa inalenga kuwekeza shilingi laki moja ili kunufaisha miradi ya mafunzo na ajira kwa vijana kujiendeleza kimaisha. Katibu katika Wizara ya biashara,...
Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga amependekeza fedha zote zinazosambaza kwa hazina ya NG-CDF na NGAAF, kufanywe marekebisho ili fedha hizo kusambazwa kwa serikali za...
Maafisa wa usalama kwa ushirikiano na wale Shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS, wamewatahadhari wananchi kuwa waangalifu dhidi ya Wanyamapori hasa Ndovu katika eneo la...
Huku Kongamano la Ugatuzi awamu ya 12 likiendelea kaunti ya Homa Bay, bado Wakenya wanaendelea kutathmini iwapo malengo ya ugatuzi yanatimizwa. Yapo maswali mengi tu kuhusu...
Shirikisho la Voliboli nchini Kenya (KVF) mapema leo limetangaza kikosi cha mwisho cha wachezaji 14 wa Malkia Strikers kitakachoshiriki mashindano ya Dunia ya FIVB 2025 yatakayofanyika...