Wafanyabiashara katika soko la Mariakani kaunti ya Kilifi wamelalamikia visa vya wizi wa mali zao unaotekelezwa ndani ya soko hilo. Walidai kuendelea kukadiria hasara kutokana na...
Jumla ya walimu 294 wa shule za chekechea kaunti ya Taita Taveta wamepandishwa vyeo kulingana na kiwango chao cha masomo yao. Akiwahutubia walimu hao gavana wa...
Mkutano wa ukusanyaji maoni ya umma kaunti ya Kwale kuhusiana na pendekezo la kuongezwa kwa ada za kuingia katika mbuga za wanyamapori nchini uliibua hisia mseto...
Takriban maafisa wanane wa polisi wamejeruhiwa kwenye shambulizi la kigaidi ambapo gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga kilipuzi katika barabara ya Banabs-Yumbis kaunti ya Garissa. Duru kutoka idara...
Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC Erastus Ethekon ametangaza mipango ya kushauriana na mwanasheria mkuu wa serikali ya Kenya ili kufafanua kipi kinajumuisha...
Marekani imetangaza vikwazo vipya vya kibiashara kwa bidhaa hasa kwa zaidi ya mataifa 90 baada ya kukamilika kwa makataa ya tarehe 1 Agosti ya kuandikisha mikataba...
Katibu katika idara ya vijana na uchumi bunifu nchini Fikirini Jacobs amesema serikali imeweka mikakati kabambe ya kubuni ajira kwa vijana kupitia miradi ya kibiashara. Akizungumza...
Chanjo za maradhi ya kisonono zitapatikana kwa wingi kuanzia Agosti 11, 2025 katika kliniki za afya Uingereza, katika jitihada za kukabiliana na viwango vya kuvunja rekodi...
Klabu ya Manchester United imewasilisha rasmi ofa kwa klabu ya RB Leipzig kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji Benjamin Šeško. Ofa hiyo inakadiriwa kufikia jumla ya Euro...
Timu ya taifa ya Uganda Cranes yaanza vibaya kipute cha CHAN baada ya kutiwa darasani, kabila ya kuchabangwa magoli 3-0 na The Desert foxes mechi ya...