SIKU 3 ZIMESALIA KUNGOA NANGA KOMBE LA CHAN: Waziri wa Michezo, Salim Mvurya, pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya CHAN, Nicholas Musonye, wamefanya ukaguzi...
Idara ya upelelezi wa jinai DCI imepewa ruhusa na mahakama ya Malindi, kuanza kufukua makaburi yaliyotambuliwa katika kijiji cha Kwa Bi Nzaro kilomita sita kutoka eneo...
Klabu ya Bayern Munich, inayoshiriki Ligi Kuu ya Bundesliga nchini Ujerumani, imetangaza kumsajili winga wa Colombia, Luis Díaz. Hatua hii imekuja baada ya Bayern Munich na...
Wafanyibiashara wa kuuza sare za shule mjini Kilifi wamesema kuwa biashara hiyo iko chini msimu huu ikilinganishwa na wakati ambapo wanafunzi wakifungua shule mwezi wa kwanza....
Ukosefu wa viwanda katika kaunti ya Kilifi umetajwa kuzorotesha uchumi wa kaunti hiyo. Kulingana na wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi, biashara zimezorota kutokana na uhaba...
Serikali ya kaunti ya Kilifi kwa ushirikiano na Wizara ya Madini imesitisha rasmi shughuli zote za uchimbaji madini zinazotekelezwa na kampuni ya Simba Cement eneo la...
Huduma ya kitaifa ya polisi nchini NPS iliagizwa kukabidhi orodha ya malipo ya polisi na kazi zote zinazohusiana na raslimali za umma kwa Tume ya kitaifa...
Mashahidi wawili wa umri mdogo wameelezea Mahakama ya Mombasa ukatili waliopitia mikononi mwa wazazi wao kufuata maagizo ya mchungaji Paul Mackenzie katika kesi ya mauaji inayomkabili...
Mabingwa wa Bara Afrika kwa soka la akina dada Super Falcons wamevuna vinono kutoka kwa rais wa taifa hilo punde tu baada ya kutua kutoka mjini...
SIKU 4 ZIMESALIA KUNGOA NANGA KOMBE LA CHAN Timu ya Taifa Ya Morocco marufu ‘Atlas Lions ‘ wamefanya mazoezi Yao ya kwanza Ugani Nyayo hapo jana...