Tume ya jinsia na usawa NGEC inasisitiza umuhimu wa kuwashirikisha wanaume ili kudhibiti visa vya dhuluma za kijinsia nchini. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mkakati...
Biashara ya kuuza matikiti maji mjini malindi kaunti ya kilifi imedorora msimu huu wa mvua ikilinganishwa na wakati wa kiangazi. Kulingana na Edward Hinzano mchuuzi wa...
Vijana eneo bunge la Kaloleni na Kilifi kwa ujumla wamehimizwa kujiunga kwenye mashirika ya akiba na mikopo ili kupata mtaji wa kuanzisha biashara ndogondogo zitakazowasaidia kujikimu...
Timu ya Taifa ya soka Harambee Stars imepanda nafasi mbili juu katika msimamo wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA kutoka 111 hadi 109 msimamo unaotolewa kila...
Shirika la umoja wa mataifa la kupambana na virusi vya UKIMWI, UNAIDS, limesema huenda kukawa na maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi milioni 6 na vifo...
Karani wa bunge la kaunti ya Kilifi Emmanuel Ngala ameagiza kuondolewa kwa walinzi wanaolinda makaazi ya Spika wa bunge la kaunti hiyo Teddy Mwambire. Kulingana na...
Siasa za majibizino kuhusu mtizamo wa vijana wa kizazi cha Gen Z na mabadiliko ya kiuongozi nchini zimeanza kushamiri huku rais William Ruto akionekana kuchukizwa na...
Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua amekanusha madai kwamba mrengo wa upinzani unapanga kumuondoa rais William Samoei Ruto madarakani. Katika taarifa yake ya siku ya Jumatano...
Baadhi ya wakulima wa mahindi katika eneo la chonyi kaunti ya kilifi wanakadiria hasara kutokana na mvua nyingi ambayo inaendelea kunyesha maeneo mengi nchini. Kulingana na...
Wadau mbalimbali wa kilimo wametoa wito kwa Serikali kuanzisha somo la teknologia ya kilimo kwenye mtaala wa masomo humu nchini ili kuimarisha uzalishaji wa chakula nchini....