Wadau wa masuala ya mazingira katika kaunti ya Mombasa wanaitaka sekta ya viwanda kuwajibikia taka za plastiki wanazozalisha ili kuzuia uchafuzi wa Mazingira. Wakiongozwa na Afisa...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC inatarajiwa kuanza rasmi zoezi la usajili wa wapiga kura wapya kote nchini, Septemba 29 mwaka huu huku ikijiandaa...
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mombasa Martin Kivuva ametoa wito kwa serikali pamoja na Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma nchini kuanzisha mazungumzo ya...
Idara ya usalama katika kaunti ya Kilifi imeanzisha uchunguzi baada ya kumkamata Mhubiri tata Kamanza Mwatela Kwa tuhma za mahubiri potovu ya kidini katika kijiji cha...
Naibu wa rais Prof. Kithure Kindiki amemkosoa Rais mstaafu Uhuru Kenyata kutokana na matamshi yake dhidi ya serikali ya Kenya Kwanza. Akirejelea suala aliloibua rais mstaafu...
Upasuaji wa maiti ya Kennedy Mutuku Nzuve afisa wa polisi aliyefariki nchini Haiti umebaini kuwa alifariki kutokana na majeraha yanayoambatana na ajali ya barabarani. Upasuaji wa...
Umoja wa upinzani umetangaza kwamba utaunga mkono mmoja wao ambaye atapambana na Rais William Ruto wakati wa uchaguzi mkuu ujao wa mwaka wa 2027. Viongozi wa...
Wahudumu wa pikipiki za umeme mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wameandamana wakilalamikia mkanganyiko ulioibuka upande wa bei za kubadili batri pamoja na huduma za pikipiki hizo....
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amewarai wafuasi na wanachama wa Chama cha Jubilee kuwa na fikra pana katika kuwachagua viongozi walio na maono ya maendeleo ili kufanikisha...
Naibu wa rais Prof. Kithure Kindiki amesema uchumi wa nchi umeimarika kwa sasa ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Akizungumza katika eneo la Wundanyi kaunti ya Taita...