Viongozi wa kidini katika eneo bunge la Kinango wamejitokeza na kuishinkiza serikali ya kaunti ya Kwale kuweka mikakati bora ya kukabiliana na kiangazi kikali katika eneo...
Rais William Ruto amewaagiza maafisa wa usalama kuhakikisha maeneo ya makanisa na sehemu zengine ya kuabudu zinapewa ulinzi wa hali juu ili kuhakikisha waumini wanashiriki ibada...
Baraza la magavana, bodi ya huduma za umma kaunti ya Mombasa pamoja na Muungano wa maafisa wa Kliniki nchini (KUCO), wametia saini mkataba wa makubaliano ya...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, imefichua kwamba inakabiliwa na upungufu wa fedha wa takriban shilingi bilioni 22. Mwenyekiti wa IEBC, Erastus Ethekon, alisema...
Mahakama ya Kilifi katika kaunti ya Kilifi inatarajiwa kutoa uamuzi wa dhamana kwa mshukiwa wa wizi wa kimabavu Joel Kalume Robert maarufu Kalume Diga. Hakimu wa...
Kituo cha redio cha COCO FM kimeng’aa katika tuzo za kila mwaka makala ya saba za Africa Champions Awards zilizoandaliwa jijini Mombasa. Katika tamasha ya tuzo...
Timu ya taifa ya hoki ya wanaume ya Kenya, Chui, ilipata kichapo chake cha pili mfululizo katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (ACN) baada...