Kamishna wa kaunti ya Mombasa Mohamed Noor amewahakikishia wakaazi wa Mombasa usalama wa kutosha msimu huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa waislamu pamoja na mfungo...
Winga machachari wa taifa la Uingereza Bukayo Saka ametia wino mkataba mpya wa miaka mitano na klabu yake ya Arsenal ya London Kaskazini. Mkataba huo mpya...
Mwakilishi wa Soka la Wanawake Kaunti ya Kilifi, Elizabeth Santa Hinzano, amesema kuwa mwaka jana shirikisho lilijitahidi kuweka mikakati ya kuanzisha Ligi ya Wanawake ya Kaunti. Hinzano...
Waumini wa Kanisa Katoliki pamoja na waumini wengine wa dini ya kikristo wameungana kote ulimwenguni kuadhimisha ibada ya Misa ya Jumatano ya majivu ishara ya kuanza...
Rais William Ruto na Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja wametia saini makubaliano ya kihistoria ya ushirikiano kwa ajili ya kuboresha jiji la Nairobi. Mkataba...
Serikali ya kaunti ya Kilifi imefutilia mbali baadhi ya miradi iliyokwama ambayo ilikuwa imekabidhiwa Wanakandarasi na kushindwa kuitekeleza. Hii ni baada ya Mkaguzi mkuu wa hesabu...
Wakulima wa matunda aina ya nanasi katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali kuwatafutia soko ili kuuza bidhaa zao ambazo zinaendelea kuharibika msimu...
Shirika la kutetea haki za binadamu la Vocal Africa limeeleza wasiwasi wake kuhusu kukamatwa na kuendelea kuzuiliwa kwa Mwabili Mwagodi, katika kituo cha polisi cha Bandari kaunti ya...
Kinara wa Chama cha Democratic Party (DP) Justine Muturi ameibua wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuhitilafiana na sajili ya wapiga kura kufuatia makubaliano kati ya tume huru...
Safari ya Kenya katika duru ya Nairobi ya mashindano ya HSBC SVNS 2 ilikwama Jumapili jioni baada ya Shujaa kupokea kichapo cha mabao 21–5 kutoka kwa...