Kocha wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Nigeria ameituhumu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo) kwa kufanya “uchawi” baada ya ndoto za...
Mahakama ya Kilifi katika kaunti ya Kilifi inatarajiwa kutoa uamuzi wa dhamana kwa mshukiwa wa wizi wa kimabavu Joel Kalume Robert maarufu Kalume Diga. Hakimu wa...
Kituo cha redio cha COCO FM kimeng’aa katika tuzo za kila mwaka makala ya saba za Africa Champions Awards zilizoandaliwa jijini Mombasa. Katika tamasha ya tuzo...
Kaunti ya Kilifi ni moja wapo ya kaunti 47 zinazokabiliwa na changamoto za dhulma za kijinsia, mimba za utotoni, umaskini, mila na tamaduni potovu na mifumo...
Baraza la mawaziri nchini limeidhinisha kuanzishwa kwa ubalozi wa Kenya katika jiji la Vatican hatua inayolenga kuboresha ushirikiano wa kidiplomasia na Vatican. Taarifa ya baraza hilo...
Kamati ya kitaifa kuhusu tuzo za Jamhuri imempongeza Wakili George Kithi kwa kutambuliwa kama shujaa wa afya, haki na masuala yanayoathiri jamii kwenye tuzo za kitaifa...
Argentina itakosa huduma za wachezaji watatu wa Atletico Madrid — Julian Alvarez, Nahuel Molina, na Giuliano Simeone — katika mechi ya kirafiki dhidi ya Angola siku...
Jannik Sinner raia wa Italia alianza vyema kampeni yake ya kutetea taji baada ya kumshinda kwa urahisi Mkanada Felix Auger-Aliassime kwa seti 2-0 katika michuano ya...
Kikundi cha kwanza cha wanariadha na maafisa wa Kenya kiko tayari kuondoka kuelekea Japan Jumanne hii kwa ajili ya Mashindano ya Majira ya Kiangazi ya Deaflympics...
Maafisa wa upelelezi eneo la Nyali, kaunti ya Mombasa, wamemkamata mwanamke anayedaiwa kupanga njama ya wizi dhidi ya mpenzi wake raia wa uingereza baada ya kumwalika...