Napoli wameendelea kuongoza Ligi Kuu ya Italia (Serie A) siku ya Jumanne baada ya kushinda kwa tabu 1-0 dhidi ya Lecce, na kufanikiwa kujiimarisha kileleni kwa...
Mashindano ya Kiambu Aquatics Annual Masters Swimming Championships yanatarajiwa kuibua msisimko mkubwa Jumamosi, Novemba 29, 2025. Wapenzi wa mchezo huo watakuwa wakielekeza macho yao yote katika...
Timu ya Harambee Starlets imefuzu rasmi kwa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuishinda Gambia 1-0 katika mechi ya marudiano ya...
Mahakama ya Shanzu imeagiza washukiwa sita wa ulanguzi wa dawa ya kulevya aina ya Methamphetamine zenye thamani ya shilingi bilioni 8.2 kusalia korokoroni kwa siku 30...
Kocha mkuu wa Harambee Starlets, Beldine Odemba, amesema kuwa motisha ya kifedha iliyotolewa na Rais William Ruto itakuwa na mchango mkubwa wa kisaikolojia kwa wachezaji wake...
Rais William Ruto amepongeza klabu ya Nairobi United Football Club kwa kuandika historia kwa kufuzu kwa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la CAF (CAF...
Mkufunzi wa kilabu ya Celtic Brendan Rodgers amejiuzulu kama kocha wa kilabu hiyo hatua iliyojiri baada ya tuhuma kutoka kwa mwenyehisa mkuu Dermot Desmond aliyemshutumu kwa...
Watu 12 wanahofiwa kufariki baada ya ndege ndogo ya utalii kuanguka katika eneo la Tsimba gatuzi dogo la Matuga kaunti ya Kwale. Ndege hiyo ilikuwa imetokea...
Kamati kuu ya Chama cha ODM imemuidhinisha Seneta Dkt Oburu Oginga kuwa Kaimu Kinara wa Chama hicho. Katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna, alisoma taarifa ya...
Tume ya uchaguzi nchini Cameroon imemtangaza Rais Paul Biya mwenye umri wa miaka 92 kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa urais uliyofanyika Oktaba 12 mwaka huu....