Kilabu ya Bandari ya Pwani imetangaza kumpiga kalamu kocha wake mkuu Ken Odhiambo baada ya mechi mbili pekee usukani msimu huu. Haya yanajiri saa chache tu...
Shirika la Kilifi Citizen Forum limekiri kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana kaunti ya Kilifi ndio chanzo cha kuchipuka kwa visa vya mauaji ya wazee kwa...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imewarai wakaazi kuwa waangalifu dhidi ya Wachungaji potovu waliojitokeza na kuwapotosha wananchi kwa misingi ya kidini. Afisa mkuu wa idara...
Beki wa taifa la Ufaransa William Saliba amesaini mkataba mpya wa miaka mitano na kilabu yake ya Arsenal na kusitisha uvumi wa kuondoka Emirate hivi karibuni....
Shirikisho la FIFA imewapunguzia alama Bafana Bafana ya Afrika Kusini baada ya kisa cha kumchezesha Teboho Mokoena kinyume cha sheria kwenye mechi ya kufuzu kombe la Dunia...
Kilabu ya AC Milan imejithibitisha kama washindani wa kweli wa taji la Serie A Jumapili baada ya ushindi muhimu wa 2-1 dhidi ya Napoli, ushindi uliowaweka...
Zoezi endelevu la kusajili wapiga kura wapya limeanza rasmi kote nchini huku idadi kubwa ya vijana wakijitokeza katika zoezi katika maeneo mbalimbali nchini. Mjini Kilifi katika...
Naibu Rais Prof Kithure Kindiki ameagiza maafisa wa serikali na wale wa kaunti kuja pamoja na kutatua changamoto zinazoikabili mamlaka ya afya ya jamii nchini SHA...
Katibu Mkuu wa chama cha Jubilee Jeremiah Kioni amedai kuwa aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua anafanya kazi na rais William Ruto kisiri. Kulingana na Kioni, Gachagua...
Mbunge wa Likoni kaunti ya Mombasa Mishi Mboko ametoa wito kwa Wakenya kujiepusha na mambo maovu pamoja na kauli ambazo huenda zikaichafulia jina taifa la Kenya...