Connect with us

Sports

Gyokeres Sasa Ni Mali Ya Arsenal

Published

on

Klabu ya Arsenal imefikia makubaliano na Sporting Lisbon juu ya kumsajili mshambuliaji Victor Gyokeres kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 63.5 na nyongeza ya milioni 10.

Gyökeres, 27, raia wa Sweden anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitano utakaombakisha kwa Washika Mitutu hao mpaka Juni 2030.
Kumekuwepo na sintofahamu kuhusiana na uhamisho huo baada ya Kilabu ya Manchester United kujaribu kupokonya Arsenal Mshambulizi huyo Ila Mshambulizi huyo alisalia kwamba anataka Arsenal pekee.
Mchezaji huyo anakua sajili wa tano kwa The Gunners baada ya usajili wa kipa Kepa Arrizabalaga,kiungo Martin Zubimendi,Christian Norgard na Mosquera.
Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Klabu ya Chelsea yapokea kichapo cha tano mfululizo Epl na kuzidi kudidimiza matumaini ya kufuzu ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao

Published

on

By

 

 

 

Continue Reading

Sports

Klabu ya wanawake mchezo wa voliboli KCB imefuzu fainali ya Mashindano ya Klabu bingwa barani Afrika mjini Cairo,Misri

Published

on

By

Continue Reading

Trending