Rais wa Tanzania Samia Suluhu sasa ametaka mazungumzo na upinzani wa taifa hilo baada ya uchaguzi uliokumbwa na utata na ghasia. Wito huu ukitolewa siku moja...
Ripoti ya waangalizi wa Umoja wa Afrika imesema uchaguzi wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, haukuzingatia viwango vya demokrasia na kanuni za kimataifa. Ujumbe huo ulieleza kwamba...
Mwenyekiti wa Chama cha upinzani nchini Tanzania cha Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba ametoa wito wa mchakato wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi huu nchini humo kutoingiliwa...
Mahakama maalumu nchini Sudan Kusini inayosikiliza kesi ya uhaini, mauaji na dhulma za kibinadamu dhidi ya aliyekuwa makamu wa kwanza wa rais Riek Machar, imetupilia mbali...
Rais William Ruto amesema Kenya na Marekani zitasaini mkataba wa kibiashara ifikapo mwisho wa mwaka huu. Rais Ruto anatarajiwa pia kushinikiza Washington kuongeza mkataba wake wa...
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera amekubali kushindwa katika uchaguzi wa wiki jana, akisema katika hotuba yake kwa taifa kwamba ni wazi mpinzani wake Peter Mutharika alikuwa...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 81 ameidhinishwa na tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa...
Chama cha Chadema nchini Tanzania kimedinda kuendelea na kesi ya uhainini inayomkabili mwenyekiti wake Tundu Lissu hadi pale wanachama na wafuasi wake watakapokuwa wanaruhusiwa kuingia mahakamani....
Upinzani nchini Sudan Kusini ulitoa wito Jumatatu 15, Septemba 2025, wa uhamasishaji wa silaha kufanya “mabadiliko ya serikali” ili kukabiliana na mipango ya kumweka kiongozi wake...
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Luhaga Joelson Mpina amekutana tena na kizingiti kingine baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania kuondoa jina...