Ulimwengu umeadhimisha siku ya kimatiafa ya Figo dunianihuku ikibainika kuwa gharama kubwa za matibabu pamoja na uhaba wa dawa katika hospitali za umma nchini ni miongoni...
Mwenyekiti wa Bodi ya hazina ya michezo, sanaa na maendeleo Wakili George Kithi amesisitiza umuhimu wa viongozi kuwaelimishwa wananchi kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa...
Washikadau wa sekta ya elimu nchini kwa ushirikiano na wataalamu wa masuala ya maendeleo wamezindua mkakati wa ruwaza ya mwaka 2040, kuboresha sekta ya elimu. Wakiongozwa...
Waziri wa Kilimo nchini Mutahi Kagwe amesema tangu vita kuanza katika maitaifa ya Ghuba kati ya Israeli na Marekani dhidi ya Iran, Kenya imekuwa kipata hasara...
Viongozi wa kundi la Mombasa Republican Council (MRC), wamelalamikia hatua ya kuhangaishwa na kukamatwa kiholela na maafisa wa polisi licha ya Mahakama kuu nchini kuhalalisha kundi...
Mkutano wa wabunge wa bunge la kitaifa na Seneti wa Chama ODM na UDA kuhusu utekelezaji wa mchakato wa ajenda 10 zilizoidhinishwa kati ya Rais William...
Viongozi wa Chama tawala cha UDA kaunti ya Kilifi wamekutana kuangazia mipango na mikakati ya kuimarisha chama hicho mashinani. Kati ya masuala yaliyojadiliwa ni pamoja...
Mahakama ya Kilifi imehairisha kesi ya mshukiwa wa wizi wa kimabavu Joel Kalume Diga hadi tarehe 30 mwezi Machi mwaka huu ambapo kesi hiyo itasikizwa. Hakimu...
Iran inatarajiwa kumtangaza kiongozi mkuu mpya atakayechukua nafasi ya Ayatollah Ali Khamenei aliyeuawa wiki moja iliyopita kufuatia mashambulizi ya Marekani na Israel. Mmoja wa wajumbe wa...
Waziri wa mambo ya nje wa taifa la China Wang Yi ametahadharisha kuhusu hatari ya China kutokuelewana na Marekani, akisema hatua hiyo itapelekea kushughudiwa kwa migogoro...