Maafisa wa sekta ya uchukuzi wameahirisha mgomo wao baada ya mazungumzo yaliyoongozwa na Rais William Ruto katika ikulu ya Mombasa. Maafisa hao wakiongozwa na rais wa...
Mahakama ya Shanzu imemnyima dhamana mshukiwa wa ulanguzi wa watoto zaidi ya 20. Mahakama imeagiza mshukiwa huyo kuzuiliwa rumande ili kuwawezesha maafisa wa polisi kukamilisha uchunguzi...
Imebainika kuwa idadi kubwa ya wanawake na vijana katika kaunti ya Kilifi bado hawajahamasishwa vilivyo kuhusiana na masuala ya uongozi, uundaji wa bajeti na sera katika...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imetoa onyo kali kwa wanaoendeleza unyakuzi wa ardhi za umma, ikisema watakabiliwa kikamilifu. Kamishna wa kaunti ya Kilifi David Wanyonyi...
Mahakama ya Kilifi imewanyima dhamana washukiwa wawili wa ulanguzi wa Mihadarati baada ya kukana mashtaka dhidi yao. Hakimu wa Mahakama hiyo Ivy Wasike, ameagiza wawili hao, Esha...
Baada ya serikali na wadau wa sekta ya uchukuzi nchini kufikia makubaliano ya kusitishwa kwa mgomo wa kitaifa, sasa mikakati ya kupunguzwa kwa bei ya mafuta...
Mahakama ya Kilifi imemwachilia kwa dhamana ya shilingi laki mbili mshukiwa wa wizi wa kimabavu baada ya kukanusha mashtaka dhidi yake. Hakimu wa Mahakama hiyo Ivy...
Maafisa wa kukabiliana na ulanguzi wa dawa za kulevya kaunti ya Kilifi wafanya oparesheni ya kiusalama na wamewatia nguvuni watu wawili wanaoshukuwa kuhusika na biashara hiyo...
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu katika eneo la Pwani wamefanya maandamano ya amani wakilalamikia hali mbovu ya barabara ya Mombasa-Malindi. Wanaharakati hao wanasema ukarabati wa...
Serikali imekosoa maandamano yaliyoandaliwa siku ya Jumatatu Mei 18,2026 kote nchini ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Serikali imesema haitakubali baadhi ya watu kuendelea...