Mjadala kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta ya petroli nchini Kenya unaendelea kushika kasi, huku wananchi wengi wakitaka maelezo ya kina kuhusu vigezo vinavyotumika kuongeza bei...
Jamaa na Marafiki walifika eneo la Mwezang’ombe kaunti ya Kilifi kuuaga mwili wa Kezia Matuki mwenye umri wa miaka saba na aliyekuwa mwanafunzi wa gredi ya...
Serikali imesema usalama umeimarishwa katika kaunti ya Kilifi kabla ya ziara ya rais William Ruto juma lijalo katika halfa ya uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa...
Madereva nchini sasa watalazimika kulipa zaidi kwa mafuta baada ya Mamlaka ya kudhibiti bei ya Petroli nchini EPRA kutangaza ongezeko la bei za mafuta kwa kipindi...
Madereva nchini wanaendelea kulalamikia masaibu ambayo wanayapitia baaada ya serikali kutangaza kupunguza viwango vya ubora wa mafuta yanayouzwa nchini, kwa kuruhusu madini hatari ya Sulphur kuongezwa...
Zoezi la upigaji kura katika eneo bunge la Emurua Dikkir linaendelea vyema katika vituo 94 vya kupigia kura na zoezi hilo linatarajiwa kutamatika mwendo wa saa...
Kamishna wa kaunti ya Kilifi David Wanyonyi amethibitisha kuwa zaidi ya vijana 70 ambao wanahusishwa na makundi ya kihalifu wametiwa mbaroni katika msako ambao unaendelezwa na...
Maafisa wa kitengo cha kupambana na dawa za kulevya mjini Mombasa wamefanikiwa kuwakamata washukiwa wawili wanaodaiwa kuhusika na usambazaji wa mihadarati yenye thamani ya shilingi milioni...
Baraza la makanisa nchini NCCK limetoa mapendekezo 7 kwa serikali za kaunti na serikali ya kitaifa, likitaka mapendekezo hayo kutekelezwa mara moja. Kati ya mapendekezo hiyo...
Mshirikishi wa Shirika la Msalaba mwekundu kaunti ya Kilifi, Kauthar Ali amesema kuwa mila na desturi za kimijikenda zimekuwa kizingiti kikuu katika vita dhidi ya dhulma...