Siku kumi baada ya mwanablogu Ndiang’ui Kinyagia kutoweka, kesi ya kumtaka inspecta jenerali wa polisi Doglas Kanja kueleza alipo mwanablogu huyo iliendelea kusikilizwa katika mahakama ya...
Wabunge wanaharakisha mchakato wakutunga sheria inayolenga kuwakinga wao wenyewe na taasisi nyingine za serikali dhidi ya athari za maandamano ya umma siku zijazo. Katika mapendekezo ya...
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesisitiza ushirikiano kati ya ufaransa na Kenya katika kutetea ajenda ya kimataifa inayojumuisha maendeleo endelevu na hatua za kukabili mabadiliko ya...
Mahakama ya Upeo imesitisha ujenzi wa kituo cha pili cha kushughulikia nafaka katika bandari ya Mombasa baada ya kutangaza zabuni iliyotolewa na Mamlaka ya bandari nchini...
Bunge la kaunti ya kaunti ya Kilifi limepiga kura na kumtimua mamlakani Spika Teddy Mwambire. Hii ni baada ya wawakilishi wadi 40 kati ya 51 kupiga...
Viongozi wa dini ukanda wa wamemkosoa naibu rais profesa Kithure Kindiki kuhusiana na kauli yake kwamba baadhi ya viongozi wa dini na wanadiplomasia walihusika katika kuunga...
Mkuu wa utumishi wa umma nchini Felix Koskei, ameagiza mashirika yote ya serikali kuanza kutoa huduma za ununuzi kupitia mfumo wa kielektroniki wa serikali almaarufu e-GP...
Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amemshauri rais William Ruto kuondoka madarakani pamoja na serikali yake ili kupisha mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa kitaifa. Kalonzo...
Wabunge wanaoegemea chama chake aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua DCP wametangaza mipango ya kuwasilishwa hoja bungeni ya kutaka kutimuliwa madarakani kwa waziri wa usalama wa kitaifa...
Huduma za matibabu katika hospitali za umma kaunti ya Kwale zinatarajiwa kutatizika kuanzia juni 30, 2025 wakati madaktari watakapoanza mgomo wao rasmi. Hii ni baada ya...