Rais William Ruto amefanya uteuzi mpya na kumteua Claris Awour Onganga kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu KNCHR. Onganga anachukua nafasi...
Mwanasayansi na mkurugenzi mkuu wa shirika la kaungazia masuala ya Ndovu Jim Justus Nyamu pamoja na wanaharakati wa masuala ya wanyamapori wametoa wito kwa serikali pamoja...
Naibu gavana wa kaunti ya Taita Taveta Christine Kilalo amewataka wenyeji kuimarisha mazingira kwa kudhibiti utupaji wa taka kiholela hasa katika maeneo ya Taveta na Voi....
Utafiti uliyofanywa na kampuni ya Timely Kenya kuhusu uongozi na uwajibikaji wa serikali za kaunti umewaorodhesha baadhi ya magavana kama viongozi wachapa kazi. Utafiti huo umemuorodhesha...
Mamia ya wauguzi kaunti ya Kilifi wamegoma na kufanya maandamano katikati mwa mji wa Kilifi. Wauguzi hao wanalilia haki yao ikiwemo mishahara pamoja na kurejeshwa kazini...
Bandari ya Lamu inazidi kujipatia umaarufu kama kitega uchumi kipya kwenye uchumi wa baharini kaunti ya Lamu lakini pia katika ukanda wa Afrika mashariki. Meneja mkuu...
Sekta ya biashara katika kaunti ya Homabay ambako kongamano na ugatuzi linaendelea, imeimarika hata zaidi. Kulingana na wamiliki wa mikahawa na baa eneo hilo walisema kuwa...
Serikali ya kaunti ya Mombasa inalenga kuwekeza shilingi laki moja ili kunufaisha miradi ya mafunzo na ajira kwa vijana kujiendeleza kimaisha. Katibu katika Wizara ya biashara,...
Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga amependekeza fedha zote zinazosambaza kwa hazina ya NG-CDF na NGAAF, kufanywe marekebisho ili fedha hizo kusambazwa kwa serikali za...
Maafisa wa usalama kwa ushirikiano na wale Shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS, wamewatahadhari wananchi kuwa waangalifu dhidi ya Wanyamapori hasa Ndovu katika eneo la...