Zoezi la upigaji kura katika eneo bunge la Emurua Dikkir linaendelea vyema katika vituo 94 vya kupigia kura na zoezi hilo linatarajiwa kutamatika mwendo wa saa...
Kamishna wa kaunti ya Kilifi David Wanyonyi amethibitisha kuwa zaidi ya vijana 70 ambao wanahusishwa na makundi ya kihalifu wametiwa mbaroni katika msako ambao unaendelezwa na...
Maafisa wa kitengo cha kupambana na dawa za kulevya mjini Mombasa wamefanikiwa kuwakamata washukiwa wawili wanaodaiwa kuhusika na usambazaji wa mihadarati yenye thamani ya shilingi milioni...
Baraza la makanisa nchini NCCK limetoa mapendekezo 7 kwa serikali za kaunti na serikali ya kitaifa, likitaka mapendekezo hayo kutekelezwa mara moja. Kati ya mapendekezo hiyo...
Mshirikishi wa Shirika la Msalaba mwekundu kaunti ya Kilifi, Kauthar Ali amesema kuwa mila na desturi za kimijikenda zimekuwa kizingiti kikuu katika vita dhidi ya dhulma...