Kundi la wanamgambo la Al-Shabab kutoka nchini Somalia limesema liliwaua wanajeshi 47 wa Uganda wanaofanya kazi chini ya Ujumbe wa Umoja wa Afrika wa Kusaidia na...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro amesema muungano wa madaktari nchini KMPDU umekua kikwazo kikubwa katika kulainisha utendakazi wa madaktari. Gavana Mung’aro alisema muungano...
Mwanzilishi wa kombe la Legends Cup na kocha wa mchezo wa Taekwondo, Onesmas Safari Ngao, amesema kuwa lengo lake kuu ni kuinua viwango vya mchezo huo...
Aliyekuwa mwakilishi wadi wa Marafa, Renson Kambi Karisa amesisitiza haja ya viongozi wa pwani kushirikiana katika kuimarisha ukanda wa pwani. Kambi alisema kuwa kupitia mshikamano huo...
Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC inatarajiwa kuandaa chaguzi ndogo 23 zinazojumuisha viti sita vya bunge la kitaifa, kiti kimoja cha seneti, na nyadhifa kumi...