Shirikisho la Ndondi Kenya (BFK) limepongeza maendeleo makubwa ambayo mchezo huo umefanya katika miaka ya hivi karibuni, likihusisha mfumo thabiti wa ligi na miradi ya mashinani...
Baraza kuu la vyombo vya habari nchini MCK limeshinikiza kutengwa kwa shilingi milioni 1.5 ambazo zitatumika kuanzisha mfumo wa ukaguzi wa masuala ya maadili utakaotumia akili...
Mkuu wa sheria ameiambia mahakama kuwa hana ufahamu kuwa afisa wa polisi Benedict Kabiru alifariki dunia nchini Haiti, kinyume na matamshi ya rais William Ruto katika...
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera amekubali kushindwa katika uchaguzi wa wiki jana, akisema katika hotuba yake kwa taifa kwamba ni wazi mpinzani wake Peter Mutharika alikuwa...
Bunge la Taifa limeitambua rasmi nafasi ya kipekee ya Kenya katika Mashindano ya Dunia ya Riadha yaliyokamilika Tokyo, ambapo Timu ya Kenya ilidhihirisha ubabe wake duniani...