Timu ya vijana ya Kenya Baseball5 imewasili Nayarit, Mexico, tayari kuiwakilisha nchi katika Kombe la Dunia la Baseball5, linaloanza Jumatano kwenye uwanja wa Parque La Loma....
Mgombea wadhifa wa ubunge katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi kupitia chama cha DCP Furaha Chengo Ngumbao almaarufu Kalama Wehu, amekana kupokea maagizo ya...
Mamlaka ya udhibiti wa kawi na petroli (EPRA) imekutana na maafisa wa Serikali ya Kaunti ya Mombasa kwa lengo la kutoa elimu kuhusu kanuni mpya za...
Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen amesema machifu watano wa kaunti ya Mandera waliotekwa nyara na wanamgambo wa alshabab mnamo mwezi Februari, 2025 na kuachiliwa...
Wafanyibiashara humu nchini wanaendelea kulalamikia kudorora kwa uchumi siku chache tu baada ya rais Wiliam Ruto kusema kuwa uchumi wan chi umeimarika. Wakizungumza mjini Kilifi kaunti...