Utafiti mpya wa kitaifa uliofanywa na Tume ya maadili ya kupambana na ufisadi nchini EACC umeonya wakenya dhidi ya vitendo visivyo vya kimaadili na ufisadi katika...
Wadau wa sekta ya Utalii eneo la Watamu kaunti ya Kilifi wameunga mkono pendekezo la shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS la kutathmini upya ada...
Maafisa wa huduma kwa wanyamapori nchini KWS wanaendelea na juhudi za kuwaokoa Ndovu wawili waliokwamwa kwenye Matope katika eneo la mkono wa bahari kwenye eneo la...
Raia wawili wa taifa la Burundi wamefikishwa katika Mahakama ya Mombasa kwa madai ya kumiliki na kujaribu kusafirisha pembe za Ndovu zenye thamani ya zaidi ya...
Kamati ya afya ya bunge la seneti sasa imetoa wito kwa serikali kuu kuiondoa miili zaidi ya 400 ambayo inaendelea kuhifadhiwa katika makafani ya hospitali ya...
Rais William Ruto amemteua Amani Yuda Komora kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya Huduma ya Polisi (NPSC) na Angeline Yiamiton Siparo kuwa mwanachama. Uteuzi huo...
Chama cha ODM kimepinga barua inayosambaa mitandaoni ikidai gavana wa kaunti ya Siaya James Orango amejiuzulu wadhifa wake. Barua hiyo ilidaiwa kutoka kwa gavana Orengo na kuelekezwa kwa spika...
Idara ya usalama katika kaunti ya Kwale imefichua maabara ya siri ya dawa za kulevya katika kijiji cha Mwabungo eneo la Ukunda. Kulingana na vyanzo vya...
Bunge la kaunti ya Kilifi linarejelea vikao vyake Agosti 4, 2025 baada ya kuahirishwa kwa mda wa majuma mawili. Hii ni baada ya bunge hilo mnamo...
Daktari wa magonjwa ya kuambukiza katika hospitali ya rufaa ya Moi mjini Voi katika kaunti ya Taita Taveta Urbanius Kioko amewataka wenyeji wa kaunti hiyo kuzingatia...