Mahakama ya Kilifi imeagiza kuzuiliwa rumande kwa mshukiwa wa unajisi wa mtoto umri wa miaka 7 wakati kesi hiyo ikiendelea. Hakimu Mkuu wa Mahakama hiyo Ivy...
Kenya imejitolea kuongeza ufadhili wake kwa Shirika la Afya duniani WHO kwa asilimia 20 katika kipindi cha miaka 4 ijayo. Waziri wa Afya nchini Aden Duale...
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu kaunti ya Mombasa wamefanya maandamano hadi katika ofisi za ubalozi wa Tanzania mjini Mombasa wakitaka kuachiliwa huru kwa Mwanaharakati wanaozuliwa...
Chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini KNUT tawi la Kilifi kimelalakimia serikali kuu kuhusu kuchelewa kusambaza mgao wa fedha wa kuendeleza shughuli za masomo. Katibu...
Chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini KNUT kimeahidi kuishinikiza serikali kuongeza asilimia 60 ya mshahara kwa walimu pamoja na nyongeza ya asilimia 30 kama marupurufu....