Naibu Rais Prof Kithure Kindiki amewahakikishia wakenya kwamba uchaguzi mkuu ujao wa mwaka wa 2027 utakuwa huru, haki na amani. Kindiki amemshtumu Kinara wa Chama cha...
Kizaazaa kilishuhudiwa katika majengo ya bunge la kaunti ya Kilifi baada ya Wawakilishi wadi ambao ni Wanachama wa Kamati ya bajeti katika bunge hilo kutofautiana kuhusu...
Mwakilishi wadi wa Ganda, kaunti ndogo ya Malindi, kaunti ya Kilifi, Oscar Wanje amekemea vikali tukio ambapo wawakilishi wadi wawili walihusika katika mshikemshike wa kumpiga mwakilishi...
Mahakama kuu ya Mombasa imeanza kuskiliza kesi ya mauaji ya aliyekuwa Kaimu Meneja wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC katika kaunti ya Kilifi...
Muungano wa Wazee wa Kaya eneo la Pwani unaitaka serikali ya kitaifa kubuni mikakati ya kuhakikisha bandari ya Mombasa inawafaidi wenyeji wa Pwani hasa katika suala...