Uhaba wa wauguzi ni miongoni mwa changamoto ambazo zinatatiza shughuli za utoaji wa huduma za matibabu katika hospitali ya rufaa mjini Kilifi kaunti ya Kilifi. Wakizungumza...
Wabunge wanaoegemea mrengo wa Kenya Kwanza wameapa kuidhinisha orodha ya makamishna pamoja na Mweneyekiti wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC punde tu itakapowasilishwa...
Katibu mkuu wa Chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini (KNUT) Collins Oyuu ameitaka serikali kuu kuharakisha mchakato wa kusambaza fedha za kufadhili masomo shuleni. Oyuu...
Serikali ya kaunti ya Kilifi imewaonya watu wanaoishi karibu na Timbo iliyoporomoka jana na kusababisha maafa kutoingia katika timbo hilo ili kudhibiti visa vya watu kufariki....
Mwenyekiti wa mamlaka ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani nchini, NTSA Khateeb Mwashetani amesema wamerudisha huduma za utoaji wa nambari za usajili wa magari baada ya...