Katibu katika Idara ya huduma za magereza nchini Dkt. Salome Beacco amesema serikali itahakikisha wafungwa wanapata mazingira bora ya afya, elimu na jamii ili kuwawezesha kurejea...
Katibu katika Wizara ya Elimu nchini Julius Bitok, amesisitiza kwamba elimu ya shule za msingi na zile za upili nchini ingali bila malipo na kwamba mpango...
Mahakama ya Kilifi katika kaunti ya Kilifi inatarajiwa kutoa uamuzi wa dhamana kwa mshukiwa wa wizi wa kimabavu Joel Kalume Robert maarufu Kalume Diga. Hakimu wa...
Kituo cha redio cha COCO FM kimeng’aa katika tuzo za kila mwaka makala ya saba za Africa Champions Awards zilizoandaliwa jijini Mombasa. Katika tamasha ya tuzo...
Kaunti ya Kilifi ni moja wapo ya kaunti 47 zinazokabiliwa na changamoto za dhulma za kijinsia, mimba za utotoni, umaskini, mila na tamaduni potovu na mifumo...
Baraza la mawaziri nchini limeidhinisha kuanzishwa kwa ubalozi wa Kenya katika jiji la Vatican hatua inayolenga kuboresha ushirikiano wa kidiplomasia na Vatican. Taarifa ya baraza hilo...
Kamati ya kitaifa kuhusu tuzo za Jamhuri imempongeza Wakili George Kithi kwa kutambuliwa kama shujaa wa afya, haki na masuala yanayoathiri jamii kwenye tuzo za kitaifa...
Maafisa wa upelelezi eneo la Nyali, kaunti ya Mombasa, wamemkamata mwanamke anayedaiwa kupanga njama ya wizi dhidi ya mpenzi wake raia wa uingereza baada ya kumwalika...
Wakulima wa mapapai kutoka eneo bunge la Ganze kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kaunti kwa ushirikiano na serikali kuu kujenga viwanda ili kuwasaidia kuuza matunda...
Baada ya kushuhudiwa vurugu na uharibifu wa mali ya shule katika Shule ya upili ya wavulana ya Malindi, hali imerejea kama kawaida na wanafunzi wa kidato...